Zenj FM
Utalii
22 November 2021, 2:17 pm
Wasafirishaji wa watalii forodhani kwenda visiwani walia na tozo ya chabanca
Na Mary Julius na Thuwaiba Mohd: Jumuiya ya wavuvi na wasafirishaji wa watalii forodhani mchanga wameiomba serikali kuangalia upya suala la chabanca kuhusu kuweka meza ya kutoza kodi katika eneo la forodhani. Kauli hizo imefuatia baada ya kampuni ya chabanca…