Zenj FM
Usafi
12 March 2024, 5:42 pm
Balozi wa China akabidhi vifaa vya usafi Manispaa ya Mjini Zanzibar
Na Ussi Mussa Jamhuri ya watu wa China imesema watalii wengi wa China wamehamasika kuitembelea Zanzibar kutokana na mandhari nzuri iliyopo na utamaduni wa asili wa watu wake. Akikabidhi vifaa vya usafi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala…