Zenj FM

Maji

8 April 2024, 5:00 pm

Maji safi na salama tatizo sugu Kiungani

Ongezeko la watu, kukatika kwa umeme mara kwa mara katika shehia ya Kiungani kumesababisha ukosefu wa maji safi na salama katika shehia hiyo. Na Rahma Hassn na Suleima Abdalla Wakazi wa Nungwi shehia ya Kiungani mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba…