Zenj FM

Maendeleo

8 December 2021, 2:37 pm

WaTanzania wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini

Na Mary Kitipwi na Thuwaiba Mohd:Watanzania wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini ili kukuza biashara Tanzania na kufikia uchumi wa viwanda. Akizungumza na zenj fm mjasiriamali wa kusarifu Spice mbali mbali kutoka Fuoni kisiwani Unguja Fatma Mohd Fadhili  amesema ni vyema…

30 November 2021, 12:55 pm

Wajasiriamali zanzibar watakiwa kuzalisha bidhaa zenye ubora

Na Mary Julius: Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman, amewataka wajasiri amali hasa vijana kuzalisha bidhaa zenye ubora zinazoweza kuhimili ushindani wa soko la biashara nchini. Othman ameyasema hayo alipozungumza katika hafla ya kukabidhi ruzuku za…

24 November 2021, 1:26 pm

Madereva wa daladala watakiwa kutoingia na abiria sheli

Na Thuwaiba Mohd: Afisa  uhusiano wa mamlaka ya udhibiti wa huduma za maji na nisharti Zanzibar ZURA Hassan Juma Amour amewataka wasimamizi wa vituo vya  mafuta sheli kutoruhusu mtowa huduma kujaza mafuta kwenye gari ikiwa na abiria ili kuepusha  athari…

17 November 2021, 1:45 pm

Walokosa kuingizwa kaya maskini watakiwa kukata rufaa.

Na Mary Kitipwi:Mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini unguja TASAF Makame Ali Haji amesema serikali ya mapinduzi imetoa nafasi kwa wale wote wenye sifa za kuingizwa katika maradi wa kaya maskini ambao majina ya yamekatwa katika awamu ya kwanza…