Uyui FM Radio

Uchunguzi

28 July 2021, 6:42 pm

Uchunguzi miradi iliyokataliwa na Mwenge Tabora.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa TABORA imeanzisha uchunguzi kwenye miradi 3 kati ya 35 ambayo haikuzinduliwa wakati wa mbio maalumu za mwenge wa uhuru Mkoani hapa. Akizungumza hii leo wakati wa kutoa Taarifa ya utendaji…