Uyui FM Radio
Uchunguzi
28 July 2021, 6:42 pm
Uchunguzi miradi iliyokataliwa na Mwenge Tabora.
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa TABORA imeanzisha uchunguzi kwenye miradi 3 kati ya 35 ambayo haikuzinduliwa wakati wa mbio maalumu za mwenge wa uhuru Mkoani hapa. Akizungumza hii leo wakati wa kutoa Taarifa ya utendaji…
20 April 2021, 5:41 pm
Katibu Hospitali ya Rufaa Kitete kufanyiwa uchunguzi wa kinidhamu
Watumishi wa afya katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora -Kitete wamemuomba mkuu wa mkoa wa Tabora kufanya uchunguzi wa kinidhamu dhidi ya Katibu wa Hospitali hiyo BABY NYIMBO kutokana na tuhuma mbalimbali za kiutendaji. Akizungumza kwa niaba ya…