Uyui FM Radio
Mapato
23 August 2021, 7:50 pm
Someni mapato na matumizi ni takwa kisheria-DC Tabora
Mkuu wa wilaya ya TABORA Dkt YAHAYA NAWANDA amemuagiza mtendaji wa kata Ya Isevya GATI ADAMU ahakikishe anasimamia suala la usomaji wa mapato na matumizi kwa wananchi kwenye kila mtaa, kisha kupeleka ripoti hiyo ofisini kwake hadi kufikia ijumaa ya…