Uyui FM Radio
Ibada maalumu
29 March 2021, 7:13 pm
Ibada maalumu ya kuliombea Taifa yafanyika Tabora
Waumini wa madhehebu ya kikristo Mkoani Tabora wametakiwa kuendeleza mazuri aliyoyaacha Hayati Dokta John Magufuli ikiwa ni pamoja na kutunza tunu za kitaifa hususani amani, upendo na mshikamano. Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora Abel Busalama…