Uyui FM Radio
hifadhi
12 April 2021, 5:49 pm
Wananchi Kaliua wapigwa marufuku hifadhi ya Isawima.
Naibu waziri wa maliasiri na utalii Marry Masanja amezuia wananchi kufanya shughuli yoyote ndani ya hifadhi ya ISAWIMA wilayani Kaliua mkoani Tabora baada ya wananchi kuvamia hifadhi hiyo na kukaidi maelekezo ya serikali ya mkoa iliyowataka kuondoka. Naibu waziri amesema…