Uyui FM Radio
Elimu
8 April 2021, 5:25 pm
Milioni 18 kugharamia ujenzi matundu ya vyoo 13 S/M GONGONI.
Zaidi ya shilingi milioni 18 zimegharamia ujenzi wa matundu ya vyoo 13 katika shule ya msingi GONGONI kata ya KANYENYE Manispaa ya TABORA. Mhashamu Askofu Mkuu jimbo katoliki TABORA PAUL RUZOKA amesema hayo wakati wa kukabidhi jengo lenye matundu 13…