Uvinza Fm

wizara ya afya

19/08/2021, 4:34 pm

Shirika la afya WHO latoa msaada wa baiskeli 100

Na,Glory Paschal Shirika la afya Duniani, WHO limetoa msaada wa baiskeli 100 Mkoani Kigoma kwaajili ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii waliopo katika maeneo ya mipakani na katika kambi za wakimbizi ili kuimarisha ufuatiliaji wa magonjwa ya mlipuko Akikabidhi…

05/07/2021, 5:55 pm

Corona yaathiri Wafanyabiashara wa samaki na dagaa

Na,Glory Paschal Baadhi  ya Wavuvi  na Wafanyabiashara wa Samaki na Dagaa Mkoani Kigoma Wamesema Kufungwa kwa Mipaka ya Nchi Jirani  Kutokana na Maambukizi ya Ugonjwa wa Corona Kumeathiri Biashara zao Wavuvi  Pamoja na Wafanyabiashara ambao Wamesema hali ya biashara imekuwa…

05/07/2021, 5:43 pm

Wananchi Waomba Muongozo Chanjo ya Corona

Na,Glory Paschal Wananchi wilayani kasulu mkoani kigoma wameiomba  serikali kuharakisha  kutoa  muongozo wa chanjo ya virusi vya corona ili waweze kupata elimu zaidi kuhusu chanjo hiyo ya virusi vya corona ambayo wamekuwa wakiisikia kutoka nchi jirani Wamesema hayo Wakati Wakizungumza…