Uvinza Fm
walemavu
16/04/2021, 3:35 pm
Kilio cha Walemavu chatatuliwa
UVINZA Na, Editha Edward Baada ya Redio uvinza fm kuripoti taarifa ya watu wenye ulemavu kupatiwa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na kila halmashauri kwa takribani miezi mitano iliyopita ili kujikwamua kiuchumi halmashauri ya wilaya ya uvinza mkoa wa kigoma…