Uvinza Fm

walemavu

16/04/2021, 3:35 pm

Kilio cha Walemavu chatatuliwa

UVINZA Na, Editha Edward Baada ya Redio uvinza fm kuripoti taarifa ya watu wenye ulemavu kupatiwa mikopo  ya asilimia 10 inayotolewa na kila halmashauri  kwa takribani miezi mitano iliyopita  ili kujikwamua kiuchumi halmashauri ya wilaya ya uvinza mkoa wa kigoma…