Uvinza Fm

wajawazito

21/04/2021, 10:22 am

Suluhisho la Vifo vya Wajawazito lapatikana

KIGOMA Na, Glory Paschal Serikali ya Mkoa wa Kigoma ikishirikiana na wadau wa Afya imezindua mpango wa dharula wa miaka mitatu ya kukabiliana na vifo vya mama mjamzito na mtoto mchanga ambavyo kwa sasa vimeongezeka na  kufikia asilimia 95 katika vituo…