Uvinza Fm

wafanyabiashara

18/05/2021, 7:33 pm

Wafanyabiashara walia na ulinzi

Na,Mwanaid Suleiman Baadhi ya wafanyabiashara wa Soko la Uvinza Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wamesema wanashindwa kuongeza bidhaa katika maduka yao kutokana na kuhofia usalama uliopo katika eneo hilo Hayo yamebainishwa na JUMA RASHID pamoja na TAMIM JACKSON wakati Redio Uvinza…