Uvinza Fm

uvinzafm

07/05/2021, 1:28 pm

Makubaliano ya Mkataba wa Mdomo yanyoshewa kidole

Na, Timotheo Leonardi Mkurugenzi wa kituo cha msaada wa usaidizi wa kisheria Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma Joseph Kanyaboya amewaomba waajiri wa Wafanyakazi wamajumbani, kuhakikisha kuwa wanazingatia taratibu za makubaliano kwanjia ya Mkataba wamaandishi, badala ya makubaliano ya Mdomo akiyataja kuwa…