Uvinza Fm
usalama barabarani
06/09/2021, 4:31 pm
Ugumu wa maisha huwapelekea waendesha bajaji kubeba zaidi ya abiria watatu
Na,Mwanaid Suleiman Baadhi ya waendesha bajaji wilayani uvinza mkoani kigoma wamesema kuwa ugumu wa maisha hupelekea kubeba abiria zaidi ya watatu kwenye bajaji licha ya kwenda kinyume na sheria za barabaarani Hayo yamebainishwa na bw ALLY MOHAMED pamoja na ATHUMANI…