Uvinza Fm
UNESCO
19/08/2021, 4:23 pm
Wazazi na walezi washauriwa kutowaruhusu watoto kusafirishwa
Na,Glory Paschal Wazazi na Walezi Wilayani Kakonko Mkoani Kigoma wameshauriwa kutoruhusu watoto wao kusafirishwa kwenda kutumikishwa katika shughuli mbalimbali kinyume cha sheria Afisa Ustawi wa Jamii halmashauri ya wilaya Kakonko Bw. Mohamed Shauri amesema baadhi ya wazazi na walezi wamekuwa…