Uvinza Fm

UNESCO

19/08/2021, 4:23 pm

Wazazi na walezi washauriwa kutowaruhusu watoto kusafirishwa

Na,Glory Paschal Wazazi na Walezi Wilayani Kakonko Mkoani Kigoma wameshauriwa kutoruhusu watoto wao kusafirishwa kwenda kutumikishwa katika shughuli mbalimbali kinyume cha sheria Afisa Ustawi wa Jamii halmashauri ya wilaya Kakonko  Bw. Mohamed Shauri  amesema baadhi ya wazazi na walezi wamekuwa…