Uvinza Fm

Ukosefu wa Soko

05/05/2021, 3:49 pm

Sehemu yakufanyia Biashara yawaliza Wajasiriamali

Na, Timotheo Leonardi Baadhi ya Wajasiriamali wa Kijiji cha Uvinza kata ya Uvinza Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, wamesema wanapata adhaa kubwa wakati wakifanya shughuli zao kutokana na kukosekana kwa eneo maalum la kuuzia bidhaa zao Hayo Wameyasema mbele ya kinasasauti…