Uvinza Fm
Ukosefu wa Soko
05/05/2021, 3:49 pm
Sehemu yakufanyia Biashara yawaliza Wajasiriamali
Na, Timotheo Leonardi Baadhi ya Wajasiriamali wa Kijiji cha Uvinza kata ya Uvinza Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, wamesema wanapata adhaa kubwa wakati wakifanya shughuli zao kutokana na kukosekana kwa eneo maalum la kuuzia bidhaa zao Hayo Wameyasema mbele ya kinasasauti…