Uvinza Fm

uhaba wa walimu

23/04/2021, 4:51 pm

Zaidi ya Wanafunzi 600 wafundishwa na Walimu 8

Na,Timotheo Leonardi Shule ya Sekondari Ruchugi iliyopo Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa walimu hali inayopelekea wanafunzi kupata wakati mgumu kufanya vizuri kwenye mitihani yao Hayo yamebainishwa na mkuu wa shule ya Sekondari Ruchugi Godwin Omela…