Uvinza Fm

Uhaba wa Madawati

18/05/2021, 8:12 pm

Magoti yatumika kama Madawati Shuleni

Na,Timotheo Leonardi Wanafunzi  katika shule ya Msingi shikizi kutoka shule mama ya Muungano iliyopo kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma hawana madawati haliinayopelekea kukaa kwenye benchi  nahatimaye kupata ugumu wakati wakiandika masomo yao Hayo wameyasema wakati Radio Uvinza fm…