Uvinza Fm
Uhaba wa Madawati
18/05/2021, 8:12 pm
Magoti yatumika kama Madawati Shuleni
Na,Timotheo Leonardi Wanafunzi katika shule ya Msingi shikizi kutoka shule mama ya Muungano iliyopo kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma hawana madawati haliinayopelekea kukaa kwenye benchi nahatimaye kupata ugumu wakati wakiandika masomo yao Hayo wameyasema wakati Radio Uvinza fm…