Uvinza Fm
TAMISEMI
07/07/2021, 4:49 pm
Waziri wa TAMISEMI aziagiza halmashauri kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato
Na,Glory Paschal Waziri wa nchi ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa Tamisemi Ummy Mwalimu ameziagiza halmashauri za Mkoa wa Kigoma kuongeza ukusanyaji wa Mapato pamoja na kuhakikisha mapato yanayokusanywa yanatumika kutatua changamoto za wananchi Akizungumza na…
07/06/2021, 5:14 pm
Michango katika shule za msingi na sekondari ni hiari
Na,Mwanaid Suleiman Serikali imesema uchangiaji wa michango katika shule za msingi na sekondari ni wa hiari na hauusishwi kwa wanafunzi kuzuia masomo yao ikiwa hajalipa michango hiyo Hayo yamejiri leo bungeni jijini Dodoma wakati Naibu waziri wa TAMISEMI mh David…