Uvinza Fm

TAMISEMI

07/06/2021, 5:14 pm

Michango katika shule za msingi na sekondari ni hiari

Na,Mwanaid Suleiman Serikali imesema uchangiaji wa michango katika  shule za msingi na sekondari ni wa hiari na  hauusishwi kwa wanafunzi kuzuia masomo yao ikiwa hajalipa michango hiyo Hayo yamejiri leo bungeni jijini Dodoma wakati Naibu waziri wa TAMISEMI mh David…