Uvinza Fm
shirika la UNDP
13/09/2021, 3:40 pm
UNDP kuwafunda wabunifu mbalimbali mkoani Kigoma
Na,Glory Paschal Shirika la Umoja wa Mataifa linashughulikia Maendeleo UNDP, likishirikiana na shirika la kuhudumia viwanda vidogo vidogo sido mkoani kigoma wametoa mafunzo kwa wabunifu wanaoanza ili kuibua bunifu na kuahindanisha kazi zao ambapo mshindi wa kwanza atapatazawadi ya milioni 10…