Uvinza Fm
RUWASA
07/09/2021, 8:17 pm
Uharibifu wa miundombinu ya maji mkongoro bado unaendelea
Na,Glory Paschal Licha ya Kuundwa Jumuiya za watumia maji katika baadhi ya kata Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwa lengo la kutoa taarifa ya uharibifu wa miundombinu ya maji katika mradi wa Maji wa Mkongoro Namba mbili bado uharibifu unaendelea. Hayo…