Uvinza Fm
RUWASA KIGOMA
04/06/2021, 7:51 pm
Wakazi wa Matendo watembea umbali mrefu kufuata maji
Na,Glory Paschal Wananchi wa Kijiji cha Pamila Kata ya Matendo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Wameiomba Serikali kuwasaidia kupeleka huduma ya maji kwani wanalazimika kutembea umbali mrefu kutafuta maji na kushindwa kufanya shughuli za maendeleo Wakizungumza na Radio Uvinza Fm, Wananchi…