Uvinza Fm

RUWASA KIGOMA

04/06/2021, 7:51 pm

Wakazi wa Matendo watembea umbali mrefu kufuata maji

Na,Glory Paschal Wananchi wa Kijiji cha Pamila Kata ya Matendo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Wameiomba  Serikali  kuwasaidia kupeleka huduma ya maji kwani wanalazimika kutembea umbali mrefu kutafuta maji na kushindwa kufanya shughuli za maendeleo Wakizungumza  na  Radio  Uvinza Fm, Wananchi…