Uvinza Fm

pongezi

28/04/2021, 6:18 pm

Jumuiya ya Dini yatoa pongezi kwa Rais Samia Suluhu

Na,Glory Paschal Jumuiya ya Dini Mbalimbali Mkoani kigoma imetoa Pongezi kwa Mh. Rais Samia Suluhu  kwa  kuwa  Rais wa Tanzania na kuvipa nafasi vyama vya siasa vya Upinzani kupata fursa ya kuonana nae na kuzungumzia mwenendo wa Siasa Nchini Jumuiya…