Uvinza Fm
pongezi
28/04/2021, 6:18 pm
Jumuiya ya Dini yatoa pongezi kwa Rais Samia Suluhu
Na,Glory Paschal Jumuiya ya Dini Mbalimbali Mkoani kigoma imetoa Pongezi kwa Mh. Rais Samia Suluhu kwa kuwa Rais wa Tanzania na kuvipa nafasi vyama vya siasa vya Upinzani kupata fursa ya kuonana nae na kuzungumzia mwenendo wa Siasa Nchini Jumuiya…