Uvinza Fm

Mvua za masika

18/04/2021, 8:56 am

Mafuriko yakumba Kaya 50

KIGOMA Na; Glory Kusaga Takribani kaya 50 zilizopo Kata ya Katubuka manispaa ya kigoma ujiji Mkoani Kigoma zimekumbwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani kigoma.Baadhi ya waathirika Wamesema changamoto ya maji kukaa katika makazi yao ni kubwa na…