Uvinza Fm

migogoro ya ardhi

28/05/2021, 7:29 pm

Serikali kuendelea kutatua migogoro ya ardhi

Na,Mwanaid Suleiman Serikali imesema inaendelea kutatua migogoro ya ardhi ili wananchi waweze kufanya shughuli zao kwa amani na utulivu Hayo yamejiri leo bungeni jijini Dodoma wakati naibu waziri wa ardhi nyumba maendeleo na makazi mh Angelina mabula alipokua akijibu swali…