Uvinza Fm

Maendeleo

28/05/2021, 7:15 pm

Serikali kutenga fedha kwa ajili ya kutengeneza barabara

Na,Rosemary Bundala Serikali imesema itaendelea kutenga fedha katikaWizara ya ujenzi  ili kuzifanyia matengenezo barabara korofi  kwa kadri upatikanaji wa fedha utakavyokuwa unaendelea  kuimarika Hayo yamejili leo bungeni jijini Dodoma wakati naibu waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa…