Uvinza Fm
jeshi la polisi
02/09/2021, 5:51 pm
Apoteza maisha kwa kukatwa na kitu kikali shingoni
Na,Jacob Kapaya Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la JACKIAS KIPARA mkazi wa kijiji cha Ruchugi wilayani Uvinza mkoani Kigoma mwenye umri wa miaka 31 amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni. Kamanda wa jeshi la polisi…