Uvinza Fm
EWURA
13/08/2021, 7:31 pm
Wafanyabiashara wa vyombo vya moto waiomba serikali kushusha bei ya mafuta
Na,Rosemary Bundala Wafanyabiashara wa vyombo vya moto vya usafiri kutika kijiji cha Ruchugi wilayani uvinza mkoani kigoma wameiomba serikali kuwa tatulia suala la kupanda kwa bei ya mafuta kutokana na hali ya kiuchumi ilivyo kwasasa. Wakizungumza na redio uvinza fm…