Uvinza Fm
daraja
28/09/2021, 7:12 pm
Wananchi wajengewa daraja ili kuepukana na vifo vilivyokuwa vikitokea
Na,Glory Paschal Wananchi wa Kata za Bitale na Mkongoro Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mkoani Kigoma wameondokana na adha ya kusombwa na Maji ya Mto Nyabigufa na kusababisha vifo pamoja na kupoteza mali zao, baada ya Serikali kujenga daraja la…