Uvinza Fm

barabara

10/05/2021, 4:35 pm

Kilomita kumi za lami zawanyima usingizi Wananchi

Na,Timotheo Leonardi Wananchi wa kijiji cha Uvinza Mkoani Kigoma wameiomba serikali kukamilisha ujenzi wa barabara ya kilomita 10 yenye kiwango cha lami iliyoahidiwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Wakizungumza katika mkutano wa…

23/04/2021, 4:15 pm

Shilingi 7.3bilioni kutengeneza mtandao wa barabara

UVINZA Na,Editha Edward Wananchi katika wilaya ya UVINZA mkoani Kigoma wameiomba serikali kupitia TARURA kuongeza kasi katika ujenzi wa barabara ya Uvinza mjini ili Kuruhusu shughuli za kiuchumi za wananchi kufanyika kwa urahisi Wakizungumza na Radio Uvinza Baadhi yao wamesema…