Maji
24/11/2021, 3:59 pm
Mabomba ya maji yenye thamani ya shilingi milioni 600 yatolewa na serikali
Na,Glory Paschal Mabomba ya Maji yenye thamani ya Shilingi milioni 600 yametolewa na Serikali katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, ambayo yanaanza kutandikwa katika kata kadhaa ikiwemo kata ya Bangwe Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. ESTER MAHAWE amesema hatua hiyo…
07/09/2021, 8:17 pm
Uharibifu wa miundombinu ya maji mkongoro bado unaendelea
Na,Glory Paschal Licha ya Kuundwa Jumuiya za watumia maji katika baadhi ya kata Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwa lengo la kutoa taarifa ya uharibifu wa miundombinu ya maji katika mradi wa Maji wa Mkongoro Namba mbili bado uharibifu unaendelea. Hayo…
12/08/2021, 4:31 pm
Wananchi walia na ukosefu wa maji
Na,Mwanaid Suleiman Wakazi wa kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza mkoani Kigoma wameiomba serikali kutataua changamoto ya maji inayowakumba katika kijiji hicho hasa katika kipindi cha kiangazi Hayo yamesemwa na baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ruchugi kuwa changamoto hiyo imekua…
04/06/2021, 7:51 pm
Wakazi wa Matendo watembea umbali mrefu kufuata maji
Na,Glory Paschal Wananchi wa Kijiji cha Pamila Kata ya Matendo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Wameiomba Serikali kuwasaidia kupeleka huduma ya maji kwani wanalazimika kutembea umbali mrefu kutafuta maji na kushindwa kufanya shughuli za maendeleo Wakizungumza na Radio Uvinza Fm, Wananchi…
01/06/2021, 4:26 pm
Mradi wa maji kakonko wafikia asilimia 65
Na,Rosemary Bundala Serikali imesema hadi kufikia disemba 2020 tayari miradi kumi na tano ilikuwa inatekelezwa katika wilaya ya kakonko ambapo miradi kumi na nne imekamilika na inatoa huduma ya maji kwa wananchi na mradi mmoja uliobaki ni mradi wa kakonko…
24/03/2021, 10:48 am
Wananchi wa Nkungwe wilayani Kigoma washukuru serikali kwa kuondoa kero ya maji.
KIGOMA. Wananchi wa Kata ya Nkungwe Halmashauri ya Wilaya Kigoma Mkoani Kigoma wamepongeza Serikali kuwasaidia kuwapelekea huduma ya maji kwani kwa muda mrefu wamekuwa wakitumia maji ya visima hali iliyosababisha kuungua magonjwa ya mlipuko mara kwa mara. Wananchi hao wameeleza…