Triple A FM
mazingira
23 March 2024, 10:17 pm
kibali cha ujenzi kutolewa kwa sharti la kupanda miti kumi jijini Arusha.
“kila mtu au taasisi inayopata kibali cha ujenzi katika maeneo ya jiji ,ipande miti kumi” Na.Anthony Masai Halmashauri ya jiji la Arusha imesisitiza kwamba itaendelea kusimamia msimamo wake wa kuhakikisha kila mtu au taasisi inayopata kibali cha ujenzi katika maeneo…