Triple A FM

Elimu

27 March 2024, 10:36 pm

Wananchi mna haki kudai uwajibikaji

Na Joel Headman Wakati taifa likisubiri kutolewa kwa ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) mwishoni mwa mwezi huu au mwanzoni mwa Aprili, wananchi wametakiwa kufuatilia na kufahamu mwenendo wa rasilimali za nchi. Wito huo umetolewa…