Triple A FM
Barabara
7 March 2024, 3:10 pm
Mtandao wa barabara za lami kuunganisha Arusha na mikoa jirani
“zaidi ya kilomita 152 za barabara ziko katika hatua mbali mbali za ujenzi kwa kiwango cha lami” Na.Anthony Masai Wakala wa Barabara TANROADS Mkoa wa Arusha,umebainisha jitihada zilizofanywa na Serikali ya awamu ya sita katika ujenzi wa madaraja na barabara…