Triple A FM

Bajeti

7 March 2024, 3:54 pm

madiwani wapitisha bajeti kuboresha jiji la Arusha

“vipaumbele vitakuwa katika sekta ya Elimu, Afya na Miundombinu kwani maeneo hayo ndio yanawagusa wananchi moja kwa moja” Na.Anthony Masai Baraza la Madiwani Halmashauri ya Jiji la Arusha limepitisha Bajeti ya kiasi cha shilingi Bilioni 51 kutoka katika mapato ya…