
Radio Tadio
22 January 2023, 10:27 am
Na; Mariam Kasawa. Wazazi wamekumbushwa kuwa na utamaduni ya kuandika wosia ili mgawanyo wa mali usilete shida endapo mzazi huyo atafariki. Akizungumza na Dodoma Tv mwanasheria kutoka chama cha wanasheria wanawake TAWLA bi. Neema Ahmed amesema wazazi wanapaswa kujua kwamba…
13 December 2021, 3:03 pm
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuunga mkono kauli ya Serikali kuto kuwapeleka Watoto kusoma masomo ya ziada kipindi cha likizo na badala yake watumie muda huo kujifunza mambo mbalimbali ya kijamii. Ushauri huo umetolewa na mhadhiri wa chuo kikuu cha…