Waziri
17 Machi 2026, 17:58
Teknolojia yatajwa kuongeza ajira kwa vijana
Kutokana na kukua kwa teknolojia nchini serikali imekuwa ikishauri vijana kuhakikisha wanatumia nafasi hiyo kujikwamua kiuchumi ikiwemo kujitangaza pamoja na kutengeneza maudhui yanayo endana na mila na tamaduni za kitanzania. Na Mwanahamis Badi. Ukuaji wa teknolojia umetajwa kutengeneza fursa mpya…
10 Febuari 2026, 17:05
ITU yaitaja Tanzania kuwa kinara usalama mtandaoni
Maadhimisho ya Siku ya Usalama Mtandaoni yanaendelea kutumika kama jukwaa muhimu la kuelimisha jamii juu ya matumizi salama ya teknolojia ya habari, huku Tanzania ikiendelea kuimarisha nafasi yake katika usimamizi wa usalama wa mtandao kikanda na kimataifa. Na Anwary Shaban.Tanzania…
6 Febuari 2026, 12:48
Posta kutumia wataalam wa lugha za alama
Hatua ya Shirika la Posta Tanzania kuanza kutumia wataalam wa lugha ya alama inatajwa kuwa mfano wa kuigwa kwa tasisi zingine za umma katika kuhakikisha haki ya kupata huduma inazingatia kila mwananchi bila ubaguzi. Na Anwary Shaban. Shirika la Posta Tanzania…
12 Januari 2026, 14:14
Tanzania yatinga kundi la juu la ukomavu wa TEHAMA duniani
Mafanikio haya ni mwendelezo wa safari ya Tanzania ya kupanda ngazi katika ukomavu wa TEHAMA serikalini, na kuendelea kujijengea taswira chanya kimataifa na kikanda. Na Mwandshi wetu. Tanzania imeendelea kung’ara kimataifa baada ya Benki ya Dunia (World Bank – WB)…
21 Novemba 2025, 15:18
Zifahamu Fursa za Teknolojia zinazoweza kuwaingizia vijana kipato
Iwapo vijana watawezeshwa na kupata mafunzo ya teknolojia, zaidi ya asilimia 60 wanaweza kuingia rasmi kwenye ajira za kidijitali. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa zipo fursa nyingi zinazoweza kupatikana kupitia teknolojia na kusaidia vijana kujiingizia kipato. Katika mjadala uliofanywa na mwandishi…
9 Oktoba 2025, 12:32
Matumizi ya mtandao yazingatiwe kuongeza ubunifu
Matumizi sahihi ya mtandao yanachangia kukuza ubunifu na maarifa katika nyanja mbalimbali. Kupitia teknolojia hii, watu wanaweza kupata taarifa, kujifunza mbinu mpya, na kubuni mawazo yatakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Picha na Google. Bi. Lawi ameongeza kuwa mtu anaweza…
15 Septemba 2025, 15:52
Teknolojia inavyoathiri malezi ya watoto
Teknolojia inaweza kuwa chachu ya maendeleo ikiwa itatumika kwa uangalifu na kwa ushauri wa karibu kutoka kwa wazazi. Na Joseph Gontako.Imeelezwa kuwa mabadiliko ya kiteknolojia yameathiri mfumo wa malezi katika jamii, kutokana na baadhi ya wazazi kutumia teknolojia zaidi katika…
14 Aprili 2025, 17:36
Polisi Dodoma kushirikiana na wauzaji, mafundi simu kuzuia uhalifu
Aidha Kamanda wa Jeshi la Polisi amewataka wananchi kuacha tabia ya kupokea mali za wizi na iwapo watangundua tukio lolote la uhalifu watoe taarifa katika mamlaka husika. Na Lilian Leopord.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema kuwa matukio…
12 Febuari 2025, 15:36
Usalama mtandaoni kupanua wigo wa watumiaji
Siku ya usalama mtandaoni duniani huadhimishwa Jumanne ya pili ya mwezi Februari kila mwaka ambapo ni mpango wa kimataifa ulionzishwa mwaka 2004. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa Usalama wa mtandaoni ukiimarishwa utasaidia kujenga imani kwa watumiaji wengi na kupanua wigo wa…
7 Febuari 2025, 15:58
Wananchi watakiwa kuona fursa kwenye uchumi wa kidigitali
Ikumbukwe kuwa Shindano hili la Masuala ya Usalama Mtandaoni’ yaan CyberChampions 2025 linaratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa lengo la kuibua, kuimarisha na kukuza uwezo kwa vijana kukabili vihatarishi vya usalama mtandaoni na kushiriki kikamilifu kwenye uchumi wa…