Radio Tadio

Waziri

17 Machi 2026, 17:58

Teknolojia yatajwa kuongeza ajira kwa vijana

Kutokana na kukua kwa teknolojia nchini serikali imekuwa ikishauri vijana kuhakikisha wanatumia nafasi hiyo kujikwamua kiuchumi ikiwemo kujitangaza pamoja na kutengeneza maudhui yanayo endana na mila na tamaduni za kitanzania. Na Mwanahamis Badi. Ukuaji  wa teknolojia umetajwa  kutengeneza fursa mpya…

10 Febuari 2026, 17:05

ITU yaitaja Tanzania kuwa kinara usalama mtandaoni

Maadhimisho ya Siku ya Usalama Mtandaoni yanaendelea kutumika kama jukwaa muhimu la kuelimisha jamii juu ya matumizi salama ya teknolojia ya habari, huku Tanzania ikiendelea kuimarisha nafasi yake katika usimamizi wa usalama wa mtandao kikanda na kimataifa. Na Anwary Shaban.Tanzania…

6 Febuari 2026, 12:48

Posta kutumia wataalam wa lugha za alama

Hatua ya Shirika la Posta Tanzania kuanza kutumia  wataalam wa lugha ya alama inatajwa kuwa mfano wa kuigwa kwa tasisi  zingine za umma katika kuhakikisha haki ya kupata huduma inazingatia kila mwananchi bila ubaguzi. Na Anwary Shaban. Shirika la Posta Tanzania…

12 Januari 2026, 14:14

Tanzania yatinga kundi la juu la ukomavu wa TEHAMA duniani

Mafanikio haya ni mwendelezo wa safari ya Tanzania ya kupanda ngazi katika ukomavu wa TEHAMA serikalini, na kuendelea kujijengea taswira chanya kimataifa na kikanda. Na Mwandshi wetu. Tanzania imeendelea kung’ara kimataifa baada ya Benki ya Dunia (World Bank – WB)…

21 Novemba 2025, 15:18

Zifahamu Fursa za Teknolojia zinazoweza kuwaingizia vijana kipato

Iwapo vijana watawezeshwa na kupata mafunzo ya teknolojia, zaidi ya asilimia 60 wanaweza kuingia rasmi kwenye ajira za kidijitali. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa zipo fursa nyingi zinazoweza kupatikana kupitia teknolojia na kusaidia vijana kujiingizia kipato. Katika mjadala uliofanywa na mwandishi…

9 Oktoba 2025, 12:32

Matumizi ya mtandao yazingatiwe kuongeza ubunifu

Matumizi sahihi ya mtandao yanachangia kukuza ubunifu na maarifa katika nyanja mbalimbali. Kupitia teknolojia hii, watu wanaweza kupata taarifa, kujifunza mbinu mpya, na kubuni mawazo yatakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Picha na Google. Bi. Lawi ameongeza kuwa mtu anaweza…

15 Septemba 2025, 15:52

Teknolojia inavyoathiri malezi ya watoto

Teknolojia inaweza kuwa chachu ya maendeleo ikiwa itatumika kwa uangalifu na kwa ushauri wa karibu kutoka kwa wazazi. Na Joseph Gontako.Imeelezwa kuwa mabadiliko ya kiteknolojia yameathiri mfumo wa malezi katika jamii, kutokana na baadhi ya wazazi kutumia teknolojia zaidi katika…

12 Febuari 2025, 15:36

Usalama mtandaoni kupanua wigo wa watumiaji

Siku ya usalama mtandaoni duniani huadhimishwa Jumanne ya pili ya mwezi Februari kila mwaka ambapo ni mpango wa kimataifa ulionzishwa mwaka 2004. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa Usalama wa mtandaoni ukiimarishwa utasaidia kujenga imani kwa watumiaji wengi na kupanua wigo wa…

7 Febuari 2025, 15:58

Wananchi watakiwa kuona fursa kwenye uchumi wa kidigitali

Ikumbukwe kuwa Shindano hili la Masuala ya Usalama Mtandaoni’ yaan CyberChampions 2025 linaratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa lengo la kuibua, kuimarisha na kukuza uwezo kwa vijana kukabili vihatarishi vya usalama mtandaoni na kushiriki kikamilifu kwenye uchumi wa…