Radio Tadio

Wadau

5 April 2023, 3:39 pm

Vijana watakiwa kugeukia kilimo ili kuboresha uchumu

Vijana wanapaswa kugeukia kilimo kwa kuzingatia mikakati ya serikali iliyopo. Na Mindi Joseph. Asasi zisizo za kiserikali zimeendelea kushirikiana na serikali kuhakikisha vijana wanajihusisha na kilimo cha mazao mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imezungumza na wadau wa asasi…