
Radio Tadio
9 October 2024, 6:24 pm
Na Niza Mafita. Kituo cha kulelea watoto yatima cha Bicha ni moja ya vituo kinavyokabiliwa na changamoto ya mahitaji ya chakula pamoja na malazi. Mwalimu wa kituo hicho Bwn. Mikidadi Ally amebainisha hayo wakati akipokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka…
5 April 2023, 3:39 pm
Vijana wanapaswa kugeukia kilimo kwa kuzingatia mikakati ya serikali iliyopo. Na Mindi Joseph. Asasi zisizo za kiserikali zimeendelea kushirikiana na serikali kuhakikisha vijana wanajihusisha na kilimo cha mazao mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imezungumza na wadau wa asasi…