
Radio Tadio
1 April 2025, 6:09 pm
Ripoti ya takwimu za uhalifu na usalama barabarani ya mwaka 2023 inaonesha matukio ya ubakaji na ulawiti kuongoza ambapo jumla ya matukio 8,185 ya ubakaji yaliripotiwa kwa mwaka 2023 huku ulawiti yakiwa matukio 2,382. Na Mariam Matundu.Wakati serikali na wadau…
24 April 2023, 4:28 pm
Kwa Sasa serikali imekuwa ikitoa fursa nyingi ambazo watu wenye ulemavu wanahaki ya kushiriki na kuwataka kuchangamkia kila fursa inayotolewa ikiwemo mikopo ya asilimia 10 ya halamshauri ambayo kundi hilo litapata asilimia 2 . Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa…