
Radio Tadio
12 July 2023, 2:45 pm
Wastani wa bei ya vitunguu maji katika masoko mbalimbali ya jiji la Dodoma ni kati ya shilingi 10000 kwa ujazo wa sado moja na shilingi laki tatu na elfu ishirini kwa ujazo wa gunia moja. Na Thadei Tesha. Wakazi wa…