Radio Tadio

Vitunguu

12 July 2023, 2:45 pm

Bei ya vitunguu maji yazidi kupanda  

Wastani wa bei ya vitunguu maji katika masoko mbalimbali ya jiji la Dodoma ni kati ya shilingi 10000 kwa ujazo wa sado moja na shilingi laki tatu na elfu ishirini kwa ujazo wa gunia moja. Na Thadei Tesha. Wakazi wa…