Radio Tadio

Utata

8 Novemba 2023, 1:19 um

Akutwa amefariki kwenye bajaji Mpanda

Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 50 amekutwa amefariki dunia katika eneo la Rugwa. Na Gladness Richard – Mpanda Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Hillalie Rioba mwenye umri wa miaka 50 amefariki dunia katika eneo la Rugwa kata ya Kazima…