Radio Tadio
10 August 2026, 16:43
Wananchi hao wametakiwa kutambua kuwa elimu ni nyenzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya utunzaji wa mazingira, huku wakisisitizwa kujenga utamaduni wa kutupa taka katika maeneo maalumu na kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama. Na Ramla Kimu. Wananchi wa Mtaa…
6 October 2023, 11:16 am
Jamii mkoani Tabora imeaswa kuondoa dhana potofu dhidi ya wanawake wenye ualbino pindi wanapohitaji kuingia kwenye ndoa. Zaituni Juma ametuandalia taarifa zaidi baada ya kuwatembelea baadhi ya wanawake na viongozi wa chama cha watu wenye ualbino TAS – Tabora