Radio Tadio

Uimbaji

30 October 2023, 11:32 am

Wasanii watakiwa kutumia nyimbo kuelimisha jamii

Uimbaji ni moja ya sanaa pendwa ambapo wapo baadhi ya watu ambao wameweza kujiajiri kupitia sanaa hiyo pamoja na kutoa eleimu kwa jamii kukemea vitendo mbalimbali na kuburudisha. Na Thadei Tesha. Kufuatia kuhitimishwa kwa siku ya sanaa duniani wasanii wa…