Radio Tadio

Uhaba

24 July 2024, 5:25 pm

Shule ya Sekondari Bihawana tunu ya kata ya Mbabala

Yussuph Hassan ameongea na Diwani wa kata ya Mbabala Mh Pascazia Charles Mawala ambapo anaielezea shule hii. Na Yussuph Hassan.Shule ya Sekondari Bihawana ni Shule ya bweni inayodahili wanafunzi wavulana wa Kidato cha Tano na Sita tu. Shule inatoa Elimu…

22 July 2024, 6:39 pm

Ufahamu mtaa wa Bihawana jijini Dodoma

Yussuph Hassan ametembelea mtaa wa Bihawana na kuja na ripoti kamili. Na Yussuph Hassan.Bihawa ni kata ambayo inapatikana katika Jiji la Dodoma, licha ya umaarufu wa eneo hili kwa kilimo cha zabibu, pia ipo shule ya sekondari kongwe Bihawana ambayo…

13 March 2023, 5:49 pm

Uhaba wa wachangia Figo waendelea kuwa kikwazo

Mpaka sasa Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza Figo  wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 walipandikizwa Figo na wataalamu wazawa. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa wachangiaji  Figo  umetajwa kuendelea kuwa kikwazo kwani Wananchi wengi hawapo tayari kujitolea kuchangia Ndugu…