Radio Tadio

Ufafanuzi

31 July 2026, 17:35

Wazazi watakiwa kuunga mkono mpango wa chakula shuleni

Baadhi ya wazazi wamesema uwepo wa chakula shuleni ni kuimarisha taaluma ya shule Kwa ujumla hivyo upo umuhimu wa Kila mzazi kushiriki, tofauti na hapo Sheria zichukuliwa Kwa wazazi wanao kaidi sanjali na kuendelea kuwa elimisha wananchi juu ya umuhimu…

16 June 2026, 17:27

Wananchi Handali watakiwa kuhifadhi chakula

Wananchi wanashauriwa kudhibiti upotevu wa mazao baada ya mavuno na kuhifadhi chakula kwa uangalifu ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi katika ngazi ya familia na kuepuka uharibifu ili kulinda usalama wa chakula . Na Victor Chigwada. Wito umetolewa Kwa wakazi…

11 September 2025, 16:18

Njaa yaanza kuwa tishio kwa wakazi wa Ndogowe

Wameongeza kuwa hali hiyo imewalazimu wanaume kuhama nyumbani na kwenda kutafuta fursa kwa ajili ya kukidhi uchumi wa familia. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa hali ya uhaba wa mvua katika msimu uliopita mwaka 2024/2025 imeaanza kuwaathiri wananchi wa kijiji cha Ndogowe…

Ufafanuzi juu ya miundombinu maji taka

31 January 2023, 12:02

Balozi afafanua juu ya Miundombinu ya Maji taka

Balozi wa mtaa wa Bahiroad mariamu omary amelazimika kutoa ufafanuzi juu ya miundombinu ya maji taka. Na Leonard Mwacha Alitoa ufafanuzi huo juu ya shutuma zinazoelekezwa kwa wenye nyumba juu ya kuhusika na uharibifu wa miundombinu ya maji taka. Kwa…