Radio Tadio

TUME

13 November 2023, 2:47 pm

NEC kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura

Na Aisha Alim.  Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC inatarajia kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ili kuondoa changamoto zinazoweza kujitokeza wakati wa uchaguzi.   Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka NEC Bw. Ramadhani Kailima wakati akizungumza…