Radio Tadio

tuhuma

6 February 2024, 11:17

Akutwa na nyaraka za serikali na meno ya trmbo Songwe

Na mwandishi wetu, Songwe Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linaendelea kuimalisha ulinzi na usalama kwa kuishirikisha jamii katika kubaini, kuzuia na kutanzua uhalifu kwa kufanya doria, misako na operesheni ambapo limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa 01 kwa tuhuma za kupatikana na…

13 November 2023, 18:57

34 mbaroni kwa uharifu Mbeya

Na Hobokela Lwinga Jeshi la polisi mkoa wa Mbeya limewakamata watuhumiwa 34 kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo utoroshaji madini, uhamiaji haramu, uvunjaji na wasambazaji wa noti bandia. Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga amesema wanaoshikiliwa kwa tuhuma za kutorosha…

26 October 2023, 18:28

Mzee miaka 80 ukutwa na Gobole bila kibali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na oparesheni, misako na doria zenye tija kuhakikisha usalama wa raia na mali zao. Na Hobokela Lwinga mzee wa miaka 80 mkazi wa Kijiji cha Madundasi Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya aitwaye…