Radio Tadio

Tanki

19 May 2026, 16:46

Maswi awataka watumishi kuwajibika

Pia amewataka watumishi kuwahi kazini na kufanya kazi kwa kujituma, akisisitiza kuwa serikali imewaamini kwa kuwapa nafasi hizo wakati wananchi wengi bado wanatafuta ajira. Na Elizabeth Tanzania. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,…

23 December 2025, 17:04

Tume ya utumishi wa umma yafafanua rufaa, malalamiko ya watumishi

Watumishi kupinga kutokulipwa stahili zao na waajiri, ikiwemo mishahara, stahili za uhamisho pamoja na posho mbalimbali za kisheria zinazotokana na utekelezaji wa majukumu yao. Na Anwary Shaban. Tume ya Utumishi wa Umma imetoa ufafanuzi kuhusu rufaa na malalamiko yaliyowasilishwa na…

24 April 2025, 17:56

Kibano watumishi wasiowajibika kazini

Watumishi watakaoshindwa kufikia kiwango hicho hawatapandishwa vyeo wala kuongezewa mishahara. Na Mariam Kasawa Serikali imetangaza mkakati wa kuwachukulia hatua kali watumishi wa umma wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo, ikiwemo kutowapandisha madaraja wala kuongeza mishahara yao. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi,…

26 April 2023, 17:11

Mlowa Bwawani walalamika ujenzi wa Tanki kutokamilika

Mradi huo ulitarajiwa kukamilika ndani ya Mwezi mmoja baada ya kutambulisha october 30 2022 lakini hadi sasa hakuna kinachoendelea kutokana na changamoto mbalimbali. Na Mindi Joseph. Wananchi wa Kijiji Cha Mlowa Bwawani Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wamelalamikia kutokukamilika kwa…