Radio Tadio
20 Disemba 2023, 5:05 um
Ng’ombe 14 wamekufa baada ya kusadikika kunywa maji yenye sumu katika kitongoji cha Mwenge. Na Ben Gadau – Katavi Ng’ombe 14 wamekufa baada ya kusadikika kunywa maji yenye sumu katika kitongoji cha Mwenge kijiji cha Sosaiti kata ya Magamba Manispaa…